Windows

Mkwasa awapa wachezaji mapumziko ya siku mbili



Kaimu Kocha Mkuu wa Yanga Charles Mkwasa amewapa wachezaji mapumziko ya siku mbili baada ya mchezo dhidi ya KMC

Kikosi cha Yanga kitarejea mazoezini siku ya Alhamisi kuanza maandalizi ya mchezo dhidi ya Simba ambao utapigwa mwakani January 04 2020

Aidha wakati huu ambao nyota wengi wa timu hiyo wanakabiliwa na majukumu ya michuano ya Chalenji, baadhi ya wachezaji wa Yanga B watajumuishwa kwenye kikosi cha kwanza

Kwa habari zaidi Download App ya SOKA KIGANJANI kutoka Play Store.

Post a Comment

0 Comments