Windows

Makocha 21 wamepita Yanga tangu mwaka 2000




Wakati uongozi wa Yanga ukiwa bado haujaweka wazi hatma ya nafasi ya kocha mkuu baada ya kumtimua Mwinyi Zahera mapema mwezi huu, makocha 21 wameinoa timu hiyo tangu mwaka 2000

Kaimu Kocha Mkuu wa sasa Charles Mkwasa ni miongoni mwa makocha ambao wameshikilia nafasi hiyo kwa vipindi tofauti

Msimu wa mwaka 2001/02 Mkwasa alikuwa kocha Mkuu kabla ya kurejea tena kuwa kocha msaidizi wakati wa awamu ya pili ya Hans van Pluijm

Pamoja na uwingi wa makocha hao, ambao CV zao 'zimeshiba', Yanga imefanikiwa zaidi kwenye soka la ndani

Imekwama wapi 'kutusua' Kimataifa na ifanye nini iweze kufanikiwa?

Hebu tizama makocha waliopita Yanga katika kipindi cha miaka 20;

1. Raoul Shungu (DRC) 2000

2. Charles Boniface Mkwasa(Tz) 2001

3. Jack Chamangwana (Malawi) (rip) 2002-2004

4. Jean Polycarpe Bonganya (DRC) 2004

5. Syllersaid Mziray (Tz (rip) 2004

6. Kenny Mwaisabula (Tanzania) 2005

7. Jack Chamangwana (Malawi) (rip) 2006

8. Milutin Sredojevic ‘Micho’ (Serbia) 2007

9. Razack Ssiwa (Kenya) 2007

10. Jack Chamangwana (Malawi) (rip) 2007

11. Dusan Kondic (Serbia) 2008-2010

12. Kostadin Papic (Serbia) 2010

13. Sam Timbe (Uganda) 2011

14. Kostadin Papic (Serbia) 2011

15. Tom Saintfiet (Ubelgiji) 2012

16. Ernie Brandts (Uholanzi ) 2012-2013

17. Hans Van Pluijm (Uholanzi) 2013-2014

18. Marcio Maximo ( Brazil ) 2014

19. Hans Van Pluijm (Uholanzi ) 2015-2016

20. George Lwandamina (Zambia) 2016-2018

21. Mwinyi Zahera (DR Congo) 2018-2019

22. ????????



Kwa habari zaidi Download App ya soka kiganjanj kutoka Play Store.

Post a Comment

0 Comments