

Michezo ya hatua ya nusu fainali ya ligi kuu ya Vijana u20 inapigwa leo kwenye uwanja wa Azam Complex, Chamazi jijini Dar es salaam
Yanga iliyotinga hatua hiyo kwa kuibuka kinara wa kundi A, itaumana na Azam Fc katika mchezo wa mapema utakaopigwa saa 10 jioni
Mtibwa Sugar na Simba zitamenyana kwenye mchezo wa pili utakaopigwa saa moja jioni



0 Comments