Windows

Tetesi za soka Ulaya Jumatatu 08.11.2020: Kante, Depay, Dalot, Solskjaer, Xhaka

Mkufunzi wa zamani wa Chelsea Antonio Conte ana matumaini ya kumsaini kiungo wa kati wa Ufaransa Ngolo Kante kujiunga na Inter Milan msimu ujao , lakini Real Madrid pia inamchunguza mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 29.(Canal, via Sun)

Post a Comment

0 Comments