Windows

Tetesi za soka Ulaya Jumatano 11.11.2020: Brenner, Grealish, Ronaldo, Pogba, Bellingham, Drinkwater

Klabu ya Paris St-Germain itafirikiria kuwasilisha ombi la kumsajili winga wa Juventus Cristiano Ronaldo iwapo klabu hiyo ya Itali itaamua kumuuza mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 35. (Mail)

Post a Comment

0 Comments