Windows

Tetesi za soka Ulaya Jumatano 25.11.2020: Musah, Berge, Silva, Van Aanholt, Varane, Tevez, Eriksen

Arsenal inamfuatilia aliyekuwa mchezaji wao Yunus Musah, 17, huku Everton, Leeds na Wolves zikiwa zimeonesha nia ya kutaka kumsajili winga huyo wa Valencia, ambaye pia ni mchezaji wa kimataifa Marekani. (90 min)

Post a Comment

0 Comments