Windows

Tetesi za soka Ulaya Jumanne 24.11.2020: Grealish, Henderson, Giroud, Isco, Eriksen

Pep Guardiola anataka Manchester City kumsajili Jack Grealish, baada ya kubaini kiungo huyo wa kati wa Aston Villa na England, 25, kama kipaumbele chake katika mipango yake ya kuunda kikosi kipya. (Independent)

Post a Comment

0 Comments