Windows

Tetesi za soka Ulaya Jumatatu 26.10.2020 : Dybala, Mbappe, Milik, Rojo, Upamecano, Aouar

Mshambuliaji wa Juventus na Argentina Paulo Dybala 26 ambaye amehusishwa na uhamisho wa kuelekea Tottenham pamoja na Man United yuko katika mazungumzo ya kuandikisha mkataba mpya na klabu hiyo ya Itali.(Sky Sports)

Post a Comment

0 Comments