Windows

Tetesi za Soka Ulaya Ijumaa 30.10.2020: Guardiola, Alderweireld, Koulibaly, Weah, Pochettino

Mgombea urais wa Barcelona Victor anataka kumregesha mkufunzi wa Manchester City Pep Guardiola katika klabu hiyo. Guardiola anahudumia mwaka wa mwisho wa mkataba wake Etihad. (Sky Sports)

Post a Comment

0 Comments