Windows

Tetesi za soka Ulaya Ijumaa tarehe 23.10.2020: Pochettino, Ozil, Garcia, Malen, Kabak

Meneja wa zamani wa Tottenham Mauricio Pochettino na meneja wa sasa wa timu ya akiba ya Real Madrid Raul wanashindania kukaba nafasi ya timu hiyo kubwa zaidi ya Uhispania iwapo wataamua kumfukuza Zinedine Zidane ambaye anakabiliwa na shinikizo. (AS)

Post a Comment

0 Comments