Windows

GSM yamwaga fedha Yanga



Ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Coastal Union leo umewahakikishia wachezaji kitita cha Tsh Milioni 10 kutoka kwa kampuni ya GSM

Kampuni hiyo iliahidi kutoa kiasi hicho cha fedha kwa wachezaji sharti likiwa lazima washinde mechi dhidi ya Coastal Union

Inaelezwa utaratibu huo utaendelea kwa michezo yote ili kuwapa motisha wachezaji kuhakikisha Yanga inafanya vizuri

Kitita hicho kilikuwepo uwanjani ambapo wachezaji walikabidhiwa baada ya mchezo

Post a Comment

0 Comments