Windows

Tetesi za Soka Ulaya Jumanne 17.09.2019: Sancho, Maddison, Matic, Wanyama, Willian

Klabu ya Celtic ya Uskochi inaweza kujaribu kumsajili kiungo wa klabu ya Tottenham na Kenya Victor Wanyama na Winga wa Chelsea na Brazil Willian anataka kusalia kwenye uga wa Stamford Bridge.

Post a Comment

0 Comments