Windows

PAUL SCHOLES AANZA VIZURI KAZI YA UKOCHA TIMU YAKE IKISHINDA 4-1


Paul Scholes ameanza vizuri kazi yake ya ukocha baada ya kikosi chake cha Oldham kushinda kwa mabao 4-1 dhidi ya Yeovil.

Hiyo ilikuwa mechi ya kwanza ya Scholes, akiwa kocha katika benchi baada ya kuingia rasmi katika kazi hiyo.

Scholes ni kiungo nyota wa zamani wa Manchester United.












Post a Comment

0 Comments