Home
About
Contact
Windows
HOME
HABARI
BURUDANI
MICHEZO
MATOKEO
MAGAZETI
LOVER
JOB
Home
HABARI
Barcelona yamsajili kiungo wa Ajax
Barcelona yamsajili kiungo wa Ajax
by -
MKALIMANGI BLOG
on -
January 24, 2019
Klabu ya Barcelona imethibitisha kumsajili kiungo wa klabu ya Ajax Frenkie De Jong kwa dau la £65m na nyongeza ya £9m.
Mchezaji huyo mwenye miaka 21amesaini mkataba miaka mitano na klabu hiyo ya Hispania na atajiunga nayo ifikapo tarehe 1 Julai ili aanze kuitumikia.
Post a Comment
0 Comments
online
Social Plugin
Popular Posts
Ushirikiano wa Chiefs, Yanga kumleta Kotei
January 12, 2020
TEWW yajidhatiti kuwakomboa Vijana waliokosa Elimu katika mfumo rasmi
July 20, 2019
KILICHOIPONZA YANGA KUPOTEZA MBELE YA SIMBA LEO HIKI HAPA
February 16, 2019
Facebook
Comments
Powered by Blogger
0 Comments