Windows

Mshambuliaji wa Manchester United Paul Pogba asema timu yake inahitaji kufanya mabadiliko

Paul Pogba anasema Manchester United inahitaji "kiubadilisha kitu fulani " baada ya kuchapwa nao 4-2 na Leicester, ikiwa ni mara ya pili wanashindwa katika mechi za Primia Ligi.

Post a Comment

0 Comments