Windows

Tetesi za soka Ulaya Jumapili 28.03.2021:Bale, Werner, Haaland, Odegaard, Cavani, Almiron, Sarr

Mshambuliaji wa Wales Gareth Bale hayuko kwenye mipango ya Real Madrid msimu ujao, ingawa mchezaji huyo, mwenye miaka 31 amesema anapanga kurejea katika klabu hiyo ya Uhispania mwishoni mwa msimu wake wa mkataba na Tottenham

Post a Comment

0 Comments