Windows

Tetesi za Soka Ulaya Jumamosi 03.04.2021: Haaland, Salah, Aguero, Mbappe, Odegaard, Kane

Liverpool inakabiliwa na hali ya suitafahamu kumhusu mshambuliaji wa Misri Mohamed Salah huku baadhiya wadau katika klabu hiyo wakizidi kushawishika kwamba nyota huyo aliye na umri wa miaka 28-anatazamia hatma yake ya siku zijazo mahali pengine. (ESPN)

Post a Comment

0 Comments