Windows

Tetesi za soka Ulaya Jumatatu tarehe 16.11.2020: Pogba, Haaland, Martinez, Rudiger, Calhanoglu, Bakayoko

Kiungo wa kati wa Manchester United na Ufaransa Paul Pogba anasema kwa sasa anapitia kipindi kigumu sana cha kazi yake ya soka kutokana na muda wake wa mchezo katika Old Trafford. (RTL via Goal)

Post a Comment

0 Comments