Windows

Mohamed Salah: Mkufunzi wa Liverpool Jurgen Klopp amuonya Salah kuhusu corona

Mkufunzi wa Liverpool Jurgen Klopp amemkumbusha mshambuliaji wa klabu hiyo Mohamed Salah kuhusu mienendo yake baada ya kuambukizwa virusi vya corona akiwa katika safari ya kimataifa Misri.

Post a Comment

0 Comments