Mlinzi wa zamani wa Arsenal Per Mertesacker anasema kiungo wa kati wa Ujerumani Mesut Ozil mawazo yake yapo mbali mpira wa miguu - mchezaji huyo wa miaka 32 ameachwa kwenye kikosi cha Washika Bunduki cha Ligi Kuu ya siku ya Jumanne (Klick and Rush podcast via Mail)
0 Comments