Windows

Tetesi za soka Ulaya Alhamisi 13.08.2020: Thiago, Lacazette, Sarr, Grealish, Diawara, Pogba

Manchester City wameingia kwenye kinyang'anyiro cha kumsaka kiungo wa kati wa Bayern Munich Muhispania Thiago Alcantara na wanaaminiwa kutoa ofa ya malipo zaidi ya Liverpool kwa ajili ya kumpata kijana huyo mwenye umri wa miaka 29. (SportBild - via Star)

Post a Comment

0 Comments