Windows

Zanzibar Heroes yataja 25 wanaokwenda Uganda



Kocha Mkuu wa timu ya Taifa ya Zanzibar 'Zanzibar Heroes' Hemed Morocco ametaja majina ya wachezaji 25 ambao wanaelekea nchini Uganda kushiriki michuano ya CECAFA Seniro Chalenji

Awali Morocco aliita nyota 40 kabla ya kufanya mchujo na kuwapata nyota 25

Nyota wanne wa Yanga Alli Alli, Abdulaziz Makame, Mohammed Issa na Feisal Salum wote wamejumuishwa katika kikosi hicho cha nyota 25

Zanzibar Heroes itaanza michuano hiyo kwa kuchuana na ndugu zao Tanzania Bara katika mchezo ambao utapigwa Jumapili Disemba 08





Kwa habari zaidi Download App ya SOKA KIGANJANI kutoka Play Store.

Post a Comment

0 Comments