Mchezo wa kwanza wa watani wa jadi kati ya Simba dhidi ya Yanga utapigwa January 04 kwenye uwanja wa Taifa
Kulingana na ratiba iliyotolewa na Bodi ya Ligi, Yanga inatarajiwa kucheza mechi nne kabla ya kukabiliana na watani zao wa jadi
Wataanza na mchezo wa raundi ya tatu kombe la FA utakaopigwa kati ya Disemba 21/22 kwenye uwanja wa Uhuru
Baadae Yanga itaelekea mkoani Mbeya ambako Disemba 24 itaumana na Mbeya City uwanja wa Sokoine
Simu tatu baadae, Disemba 27 itarudi uwanja wa Sokoine kuikabili Tanzania Prisons
Baada ya michezo hiyo Yanga itarejea jijini Dar ambapo Disemba 30 itacheza na Biashara United
Kwa habari zaidi Download App ya SOKA KIGANJANI kutoka Play Store.
0 Comments