

Leo Jumatano saa nane mchana droo ya raundi ya tatu michuano ya kombe la FA (ASFC) itafanyika
Droo hiyo itahusisha timu 64 ambazo zitajumuisha timu za ligi kuu, ligi daraja la kwanza na washindi kutoka raundi ya pili
Kwa habari zaidi Download App ya SOKA KIGANJANI kutoka Play Store.



0 Comments