

Klabu ya Yanga imeanza hatua za awali ujenzi wa viwanja katika eneo lake lililopo Kigamboni nje kidogo ya jiji la Dar es salaam
Katika eneo hilo la ekari saba ambalo uongozi wa Yanga ulikabidhiwa na Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam Mh Paul Makonda mapema mwaka huu, ujenzi wa viwanja vitatu na Hostel za wachezaji wa Yanga zitajengwa
KUPATA HABARI HIZI PAKUA APP YA SOKA KIGANJANI



0 Comments