

Mkuu wa Usalama barabarani Mkoani Arusha Charles Bukombe amekamata gari la kampuni ya Costiline linalofanya safari zake kati ya Arusha na Simanjiro Mkoani Arusha na Manyara kwa kujaza abiria zaidi ya 80 kwenye gari tofauti na Idadi inayotakiwa kwenye idadi inayotakiwa
TAZAMA FULL VIDEO HAPA CHINI...USIKOSE KU-SUBSCRIBE



0 Comments