

Pia kocha huyo amesema ligi kuu ya Tanzania haina ubora mkubwa kwa sababu timu nyingi ni dhaifu amedai kati ya timu 20 unaweza ukakuta timu 5 tu ambazo zina ubora wa kushindana sawa ila zingine ni dhaifu kwa ubora wa ligi kuu, ndio maana wanashinda kwa urahisi licha ya ratiba ngumu kwao.
Simba mpaka sasa wapo katika nafasi ya pili kwenye msimamo wakiwa nyuma kwa points 2 nyuma ya Yanga lakini Simba wakiwa na Faida ya kuwa na mechi 4 za ziada.
The post Tetesi za usajili Simba 6 May 2019 appeared first on KWATA UNIT SPORTS & ENTERTAINMENT.




0 Comments