Windows

Shikalo kuwa kipa namba moja Yanga



Mlinda lango wa Bandari Fc Farouq Shikalo amesaini mkataba wa miaka miwili kuitumikia Yanga, imefahamika

Inaelezwa Shikalo alipelekea mkataba nchini Kenya na mmoja wa Wajumbe wa Kamati ya usajili ya Yanga

Moja ya sharti lililowekwa kwenye mkataba wake ni yeye kuwa mlinda lango namba moja

Shikalo alikuwa akiwindwa na Yanga tangu wakati wa usajili wa dirisha dogo ambapo mchakato wake wa usajili mwezi Disemba ulikwama dakika za majeruhi

Mlinda lango huyo yuko kwenye kikosi cha timu ya Taifa ya Kenya Harambee Stars ambacho kinajiandaa na fainali za AFCON 2019

Post a Comment

0 Comments