Windows

Malindi, JKU kusaka tiketi ya CAF leo

NA ZAINAB ATUPAE TIMU za Malindi na JKU leo zinashuka dimbani kucheza fainali ya kombe la FA majira ya saa 10:00 jioni kwenye dimba la Amaan. Mshindi wa mchezo huo ataiwakilisha Zanzibar katika mashindano ya kombe la Shirikisho Afrika, baada […]

Post a Comment

0 Comments