Windows

Malaria bado yanamsumbua Ngasa



Hali ya winga wa Yanga Mrisho Ngasa bado haijatengemaa akiendelea na matibabu ya ugonjwa wa Malaria

Ngasa amekosa michezo miwili ya Yanga dhidi ya Ruvu Shooting na Mbeya City kutokana na kusumbuliwa na maradhi hayo

Ugua pole 'Uncle' Wana Jangwani tunakuombea ili uweze kupona na kurejea katika majukumu yako kwenye kikosi cha Yanga

GET WELL SOON UNCLE...!

Post a Comment

0 Comments