Windows

LIverpool yaipiku Manchester City kwa mapato Uingereza



Liverpool imekusanya zaidi ya pauni Milioni 152 kwenye ligi kuu ya Uingereza msimu uliomalizika, ikiwa ni zaidi ya pauni Mil 1.44 ya mapato iliyopata Manchester City

Liverpool iliyomaliza nafasi ya pili ikifikisha alama 97, ilipata haki nyingi za matangazo ya televisheni kuliko mabingwa, Manchester City

Manchester City imevuna pauni Mil 38.4 kwa kumaliza mabingwa wa ligi kuu ya Uingereza. Pauni Milioni 2 zaidi ya Liverpool

Huddersfield imevuna pauni milioni 96.4 ikimaliza mkiani mwa msimamo wa ligi

Timu zote 20 zimelipwa pauni Milioni 34.4 haki za matangazo ya televisheni nchini Uingereza na pauni milioni 43.2 kwa matangazo ya Kimataifa na pauni milion 5 za matangazo ya biashara

Post a Comment

0 Comments