Windows

VIDEO: KOCHA SIMBA ADAI MKATABA

Taarifa za ndani kutoka kwa klabu ya Simba zinaeeleza kuwa Kocha msaidizi wa klabu hiyo Denis Kitambi ameamua kujiondoa kwenye timu hiyo kufuatia madai ya kutopewa mkataba tangu ajiunge na simba February mwaka huu.

Video na Global TV


Post a Comment

0 Comments