Windows

Dongo la Haji Manara kwa kocha wa Stand United

Dongo la Haji Manara kwa kocha wa Stand United

Baada ya kuifunga Mabao mawili kwa 0 Simba ikicheza na Stand United afisa habari wa Simba Haji Manara amemtupia dongo Kocha wa Stand United
Kupitia ukurasa wake wa Instagram Haji Manara ameandika Ujumbe huu .
Blaza next time uwe na heshma walau kdogo kwa klabu kubwa ambae ndio Bingwa wa nchi!! Au kumbanjua kwasu ndio na cc ukatuchukulia poa sio!!
Hii ni Simba bana

Post a Comment

0 Comments