Windows

VIDEO- FULANA YA ZAHERA YAIBUA MSALA, USHIRIKINA WATAJWA, MWENYE AIBUKA NA KUKANUSHA


Kocha ya Yanga Mwinyi Zahera amekanusha uvumi kuwa anatumia ndumba kushinda mechi kutokana na aina yake ya Tisheti yake kuwa ya aina moja hasa pale anapokua katika benchi la ufundi pale timu yake inapocheza.


Post a Comment

0 Comments