Dakika ya 16 Zuberi Daby nahodha wa Ruvu Shooting anapata maumivu kwenye mguu.
Dakika ya 15 Ruvu Shooting wanarusha kwenda kwa Mbao FC mlinda mlango anaanzisha mashambulizi.
Dakika ya 14 Shaban Msana wa Ruvu Shooting anazuiwa na mabeki wa Mbao FC.
Dakika ya 13 Mbao wanarusha kwenda Ruvu Shooting.
Dakika ya 12 mpira unarushwa kwenda lango la la Mbao FC.
0 Comments