Windows

HIZI HAPA TIMU NANE KAZINI LEO TPL

MOTO hauzimwi Ligi Kuu Bara,leo mechi nane zitachezwa ikiwa ni mzunguko wa 28 kwenye viwanja vinne tofauti kama ifuatavyo:-

Mwadui FC dhidi ya Biashara United, uwanja wa Mwadui Complex saa 8:00 mchana.

African Lyon dhidi ya Simba, uwanja wa Amri Abeid saa 10:00 jioni.

Coastal Union dhidi ya Azam FC, uwanja wa Mkwakwani saa 10:00 jioni.

Ruvu Shooting dhidi ya Kagera Sugar, uwanja wa Mabatini saa 10:00 jioni.

Post a Comment

0 Comments