Home
About
Contact
Windows
HOME
HABARI
BURUDANI
MICHEZO
MATOKEO
MAGAZETI
LOVER
JOB
Home
HABARI
Yanga yaonja kipigo cha kwanza msimu huu
Yanga yaonja kipigo cha kwanza msimu huu
by -
MKALIMANGI BLOG
on -
January 19, 2019
Timu ya Stand United yaharibu rekodi ya Yanga msimu huu, hii ni baada ya leo kuifunga timu hiyo kwa bao 1-0 katika mchezo wa ligi kuu Tanzania Bara.
Jacob Masawe ndiye aliyepeleka kilio kwa timu ya Yanga baada ya kuipatia timu yake ya Stand United dakika ya 88.
Hii ni kwa mara ya kwanza msimu huu kwa Yanga kupoteza mchezo kwenye Ligi kuu Tanzania Bara.
from MUUNGWANA BLOG
Post a Comment
0 Comments
online
Social Plugin
Popular Posts
VIDEO: TAZAMA WAARABU WALIVYOSUKA MIPANGO YA KUWAMALIZA SIMBA MAPEMA TAIFA LEO
February 11, 2019
Watu 21 wafa kwa mlipuko wa Bomba la mafuta
January 19, 2019
Wimbo Mpya : BHUDAGALA - BHUSAMI....Ngoma Kali Balaa...
May 17, 2019
Facebook
Comments
Powered by Blogger
0 Comments