Home
About
Contact
Windows
HOME
HABARI
BURUDANI
MICHEZO
MATOKEO
MAGAZETI
LOVER
JOB
Home
HABARI
Yanga yaonja kipigo cha kwanza msimu huu
Yanga yaonja kipigo cha kwanza msimu huu
by -
MKALIMANGI BLOG
on -
January 19, 2019
Timu ya Stand United yaharibu rekodi ya Yanga msimu huu, hii ni baada ya leo kuifunga timu hiyo kwa bao 1-0 katika mchezo wa ligi kuu Tanzania Bara.
Jacob Masawe ndiye aliyepeleka kilio kwa timu ya Yanga baada ya kuipatia timu yake ya Stand United dakika ya 88.
Hii ni kwa mara ya kwanza msimu huu kwa Yanga kupoteza mchezo kwenye Ligi kuu Tanzania Bara.
from MUUNGWANA BLOG
Post a Comment
0 Comments
online
Social Plugin
Popular Posts
Dk Msolla ashinda Uwakilishi, Bodi ya Ligi
December 07, 2019
HAZARD AMALIZA KAZI PENALTI YA MWISHO CHELSEA IKIIFUATA ARSENAL FAINALI EUROPA LEAGUE
May 09, 2019
FURSA LUKUKI KWA WATANZANIA KATIKA KONGAMANO LA BIASHARA KATI YA TANZANIA, UGANDA
September 04, 2019
Facebook
Comments
Powered by Blogger
0 Comments