Windows

Tetesi za soka Ulaya Jumamosi 26.10.2019: Pogba, Bale, Mbappe, Nunez, Ozil, Luiz

Real Madrid iko tayari kuipatia Manchester United £90m pamoja na mshambuliaji wa Wales Gareth Bale, 30, ili kummsajili Paul Pogba, lakini inataka mchezaji huyo wa Ufaransa mwenye umri wa miaka 26 kuimarisha kiwango chake cha mchezo uwanjani . (El Desmarque, in Spanish)

Post a Comment

0 Comments