Windows

YANGA SASA KUONJA MACHUNGU YA LIGI, MECHI 5 MFULULIZO ZA UGENINI HIZI HAPA


Mzunguko wa pili wa Ligi Kuu Bara kwa Yanga yawezekana uwaka mchungu zaidi ambapo moja ya mechi zitakazocheza ni hizi hapa

3/2/2019 
Coastal Union vs Yanga - Tanga

6/2/2019
Singida vs Yanga - Singida

10/2/2019 
JKT Tanzania vs Yanga - Tanga

16/2/2019 
Yanga vs Simba - Taifa

20/02/2019
Mbao FC vs Yanga - Mwanza

Unaweza kutupa maoni yoyote juu ya ratiba hii?

Post a Comment

0 Comments