

Mzunguko wa pili wa Ligi Kuu Bara kwa Yanga yawezekana uwaka mchungu zaidi ambapo moja ya mechi zitakazocheza ni hizi hapa
3/2/2019
Coastal Union vs Yanga - Tanga
6/2/2019
Singida vs Yanga - Singida
10/2/2019
JKT Tanzania vs Yanga - Tanga
16/2/2019
Yanga vs Simba - Taifa
20/02/2019
Mbao FC vs Yanga - Mwanza
Unaweza kutupa maoni yoyote juu ya ratiba hii?



0 Comments