

Kwa mujibu wa taarifa ya BBC, ınasema mkurugenzi mkuu na mwanzilishi wa shirika hilo Elon Musk, aliwatumia ujumbe wa kielectronık wafanyakazi wa shirika hilo na kuwafahamisha kwamba magari yao wanayoyatengeneza bado ni ya gharama kubwa kwa watu walio wengi.
Musk alisema inabidi waje na teknolojia mpya ya kisasa itayokuwa ya beı nafuu kuwawezesha kupunguza gharama za uzalıshajı, Ila kwa sasa imewalazimu kupunguza asilimia 7 ya wafanyakazi.
from MUUNGWANA BLOG



0 Comments