

Bondia Manny Pacquiao nyumba yake imevamiwa muda mchache tu baada yakushinda pambano lake dhidi ya Adrien Broner.
Kwa mujibu wa mtandao wa Tmz ni kuwa wavamizi hao waliingia kwenye nyumba ya MkickBoxer huyo usiku wa jumapili japo hawakufanikiwa kuiba chochote baada ya taarifa za wizi kuwafikia polisi ambao waliwahi kufika eneo la tukio na kufanikiwa kuwatawanya.
Polisi hawakufanikiwa kuwakamata wavamizi hao ila bado wanaendelea na msako ili kuwabaini wahusika,



0 Comments