Hatua ya Liverpool kushindwa kumuuza winga wa Uswizi Xherdan Shaqiri, 29, au mshambuliaji wa Ubelgiji wa miaka 26- Divock Origi imewafanya wakose nafasi ya kumsajili mshambuliaji wa Patson Daka, 22, wa Zambia kutoka Red Bull Salzburg, kabla ajiunge na Leicester City. (Here We Go Podcast, via Express)
0 Comments