Windows

Tetesi za Soka Ulaya Jumatano 22.09.2021: Martial, Henderson, Kante, Lewandowski, Oyarzabal, Asensio

Mshambuliaji wa Ufaransa Anthony Martial atakuwa huru kuondoka Manchester United katika dirisha la usajili la Januari. Mchezaji huyo wa miaka 25 yuko huru kukaa katika Ligi ya Premia lakini anaweza kutafuta fursa barani, na Barcelona inaweza kuwa chaguo (Eurosport)

Post a Comment

0 Comments