Windows

Ferdinand Omanyala: Kwanini mtu mwenye kasi zaidi Afrika hakukatishwa tamaa na marufuku aliyowekewa?

Mwanariadha wa Kenya Ferdinand Omanyala, anayeshikilia rekodi ya mbio za mita 100, anasisistiza kuwa hana wasiwasi juu ya maswali yaliyoibulika kutokana na marufuku ya madawa ya kusisimua misuli aliyowekewa mwaka 2017.

Post a Comment

0 Comments