Windows

Tetesi za soka Ulaya Jumanne tarehe 03.08.2021: Kane, Haaland, Lukaku, Trippier, Messi, Ramsey, Asensio, Ward-Prowse

Manchester City wanapungukiwa na pauni milioni 40 kati ya pauni milioni 160 bei ambayo Tottenham inataka kumuuza mshambuliaji wa England Harry Kane, 27. (Star)

Post a Comment

0 Comments