Windows

Tetesi za Soka Ulaya Jumanne 08.06.2021: Grealish, Sancho, Ronaldo, Jesus, Haaland, Edouard

Manchester United wanakaribia kufikia mkataba wa kumsajili Jadon Sancho, 21, kutoka Borussia Dortmund baada ya bei ya winga huyo wa Uingereza kushuka hadi £80m. (Times)

Post a Comment

0 Comments