Chelsea wako tayari kutoa wachezaji kadhaa, pamoja na mshambuliaji wa England Tammy Abraham, 23, na kipa wa Uhispania Kepa Arrizabalaga, 26, katika ofa ya kubadilishana wachezaji pamoja na pesa ili kupata sahihi ya mshambuliaji wa Tottenham na Uingereza Harry Kane.(ESPN)
0 Comments