Windows

Neymar atoa ishara ya kucheza timu moja na Messi msimu ujao

Neymar aliwashangaza wengi aliposema kwamba anataka kucheza na Messi tena msimu ujao , muda mfupi baada ya kuisadia PSG kupata ushindi wa 3-1 katika mashindano ya kombe la klabu bingwa Ulaya dhidi ya Man United

Post a Comment

0 Comments