Windows

Yanga yaiandalia 'dozi' Alliance FC



Baada ya mapumziko ya siku tatu, kikosi cha Yanga leo kimerejea mazoezini uwanja wa Chuo cha Polisi Kurasini jijini Dar es salaam kujiandaa na mchezo wa ligi kuu dhidi ya Alliance Fc

Mchezo huo utapigwa Ijumaa Novemba 29 kwenye uwanja wa CCM Kirumba

















Post a Comment

0 Comments