

Mchezo wa ufunguzi wa ligi kuu ya Tanzania Bara kati ya Simba dhidi ya JKT Tanzania ambao awali ulipangwa kupigwa August 23 kwenye uwanja wa Taifa, sasa utapigwa August 29
Mabadiliko hayo yametokana na Simba kukabiliwa na mchezo wa ligi ya mabingwa, dhidi ya UD Songo
Mchezo huo wa marudiano utapigwa August 25 kwenye uwanja wa Taifa
Tayari TFF imeziarifu Simba na JKT Tanzania kuhusu mabadiliko hayo



0 Comments